Deuteronomy 26:14

14 aSijala sehemu iliyowekwa wakfu wakati nilipokuwa nikiomboleza, wala sijaondoa mojawapo wakati nilipokuwa najisi, wala sijatoa sehemu yake yoyote kwa wafu. Nimemtii Bwana Mwenyezi Mungu wangu; nimefanya kila kitu ulichoniamuru.
Copyright information for SwhKC